Hello Afromates, ni jumatano nyingine tena ambayo tunajua kunakuwaga na #WeddsWednesday hapa tunakuwa tunaongelea mitindo mbalimbali ya harusi, leo tunaongelea kuhusu namna nyingine ya kutumia maua katika harusi yako.
Tumezoea kutumia maua kwenye decorations katika harusi au wedding bouquet flowers ambazo hubeba bibi harusi na wengine hutumia flower girls ku-throw flowers katika harusi, Asante kwa Kim Kardashian na mke wa Joshua Kissi ambae ni photographer na creative director kutoka Kenya ambao wametuonyesha namna nyingine ya kutumia maua kwenye harusi yako.
Kim Kardashia alitupa wedding vibes wakati ana launch collection yake mpya ya makeup Mrs. West Collection, akiwa amevalia gauni jeupe lenye maua ya rose kifuani, we love this creativeness ipo tofauti. Tumependa makeup yake na nywele pia we can totally see a bride in this outfit, kama utataka kujaribu hakikisha thorn kwenye maua zimetolewa zisije zikakuchoma.
Na mke wa Joshua Kissi yeye alitumia flowers kama kofia, Snapchat filter in real life, we lovelove how the hat makes a statement,
Well Afromates tuambie thought zako kwenye hizi idea ipi umeona inakufaa?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/forget-about-wedding-bouquet-flowers-these-are-other-ways-to-use-flowers-on-your-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 75810 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/forget-about-wedding-bouquet-flowers-these-are-other-ways-to-use-flowers-on-your-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/forget-about-wedding-bouquet-flowers-these-are-other-ways-to-use-flowers-on-your-wedding/ […]