Walimbwende wa zamani kutoka Miss Tanzania wamefanya photoshoot ya Tamasha la Beauty Legacy Gala Tanzania 2020. Utakuwa unajiuliza Tamasha hilo linahusiana na nini “Miss Tanzania 2000, Mjasiriamali na Muasisi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation, Ms.Jaqueline Mengi ameanzisha tamasha la harambee la The Beauty Legacy Tanzania 2020 linalowajumuisha malkia walioshinda Taji la urembo Tanzania lenye lengo la kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia watoto na wamama wenye uhitaji maalumu litakalofanyika December 12 jijini Dar es Salaam.
Walimbwende mbalimbali kutoka miaka iliyopita wameonekana kushirikishwa katika Tamasha hili akiwepo Miss World Tanzania 2018 @queenelizabethmakune, 2019 @sylviasebastianbebwa, 2015 @lilliankamazima, 2016 @dianaflave, 2000 @j_n_mengi, 2011 @salha_israel, 2012 @lisazagar, 2001 @ladivamillen, 2014 @happinesswatimanywa na Miss World Tanzania 2006 Wema Sepetu.
Ikiwa tunaelekea karibia na Tamasha hili kufanyika warembo hawa wamefanya photoshoot na kutukumbusha kwanini walishinda Taji hili, angalia picha chini kuona nani ali-slay vipi.
Kutoka Kushoto Ni Miss Tanzania 2000 Happiness Magese, Lisa Jensen ( 2012) na Sylvia Bebwa ( 2019)
Kutoka Kushoto Ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, 2018 Queen Elizabeth Makune Na Miss Tanzania 2000 Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi
Wengine waliokuwepo unaweza kuwaona hapo chini kwenye picha ya pamoja

Well hii inatufanya tusubiri kwa hamu kuona hio siku itakuaje
Venue :@hyatt_kilimanjaro
Make up :@laviemakeup
Hair @yohajonailbar
Styled by @noelgiotz
Photographer @pafectstudio
All queens were dressed by @secky_land_of_fashions
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/former-miss-tanzania-for-beauty-legacy-gala-photoshoot/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/former-miss-tanzania-for-beauty-legacy-gala-photoshoot/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/former-miss-tanzania-for-beauty-legacy-gala-photoshoot/ […]