SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

GAUNI LA YEMI ALEDE LINA THAMANI YA TSH M19,400,000
I'm A Celebrity

GAUNI LA YEMI ALEDE LINA THAMANI YA TSH M19,400,000 

Usiku wa kuamkia jana kulikua na Tuzo kubwa za BET ambapo wasanii wakubwa maarufu walikuepo na kati ya hao alikuwepo mwana dada Yemi Alede kutoka Naigeria. Yemi Alede Alivalia Floral Gown Yemi-A

kutoka katika Zuhair Murad 2016 Resort Collection ambapo Collection hii ishavaliwa na watu maarufu kama Beyonce, Taylor swift, Michelle Obama and Jennifer Lopez. Gauni hili lime mgharimu Yemi Pesa za Ki Nigeria 2,500,000 wakati ukizibadilisha kuwa pesa ya madafu ya Tanzania ni sawa na M19,400,000.

YA

Yemi alikamilisha mtoko wake kwa kuwesukia bantu knots na kupaka make up nzuri

Related posts

1 Comment

  1. ufabet

    … [Trackback]

    […] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/gauni-la-yemi-alede-lina-thamani-ya-tsh-m19400000/ […]

Leave a Reply