Kutafuta m’bano kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe huwa ni stress, kuna wale wasiopenda mambo mengi, ukisuka rasta inachukua muda na labda umechoshwa na wig na weavings basi m’badala wa hivi ni kufunga vilemba ambavyo wengi tunaviita vya ki-Nigeria lakini jina lake kabisa ni Gele, na vilemba hivi huvaliwa hasa kwenye shughuli kama harusi, kitchen party au hata send off.
Well tumekuletea ideas 6 kutoka kwa watu maarufu kutoka Tanzania na Nigeria ambao tumeviona na kukavutiwa navyo tukianza na
Hamisa Mobetto, Elizabeth Michael & Julitha Kabete

Wengine ambao wametuvutia na vilemba vyao ni Toke Makinwa, Gigy Money na Liquo Rose

Tuambie ya nani unaweza kujaribu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…