Plain shoes zinaweza kuwa boring at times, hasa pale unapo taka kuvaa kiatu ambacho kinakupa statement feeling, well brand ya accessories ya Manyatta imekuletea Manyatta Shoes Accessories, hizi ni clip za viatu zilizo wekwa vito mbalimbali na unaweza kubadilisha kutokana na mahitaji yako, tulicho penda kuhusu hizi shoe accessories ni kwamba kuna zile ambazo zinakupa statement na zile ambazo za kawaida
Statetement Shoes Accessories by Manyatta – hizi ni zile unaweza kubandika ukiwa unaenda mahala kama harusini, red carpet na unataka kiatu chako kiwe na extra something kisiwe boring, unaweza kutumia hata harusini.
Uzuri wa hizi accessories si za kubandika ni clips, kwaio huaribu kiatu na unaweza kuvaa as plain unapo hitaji kuvaa plain shoes, lakini pia una weza kuzipandika popote unapo taka mbele ya kiatu, nyuma,pembeni etc.
These shoe rings are every thing little touch’s zinazo weza kubadilisha muonekano wa kiatu chako from z to a
Casual/Traditional Shoe Accessories – hizi ni zile za day to day wear, yaani kama kazini, mitoko ya mchana etc. unaweza kuzi clip kwenye flat shoes pia sio heels pekee
Kama unahitaji kujua pa kuzipata tafadhali wa follow @manyatta_101
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…