Nani mwingine alikuwa anachukia skirt za marinda shule? well us too, lakini seems like kwenye Dunia ya kutokuvaa uniform skirt za marinda zina kiki sana kwa sasa, hizi skirt zimekuwa kwenye trend kwa muda sasa, kuanzia normal pleated skirt, zikaja metallic na sasa ni graphic pleated skirt.
Hizi mpya ni zile ambazo zina michoro michoro, inaweza kuwa maua, vikatuni nakadhalika, tumependa hii version ya sasa imechangamka na very stylish kama ni mpenda rangi ukichanganya unapendeza sana.
Lakini pia unaweza kuzivaa sehemu mbalimbali, kazini, casual, kwenye mitoko ya usiku nk, tumeona watu maarufu mbalimbali na fashionistas wakiwa wamevali skirt za mtindo huu,
- Elizabeth Michael
In colorful pleated skirt akiwa amemalizia na black top, black hijab, miwani, belt na mkoba mweusi na statement yellow pumps
Well afromates would you rock this skirt?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/graphic-pleated-skirts-are-trending-right-now/ […]