Rapper Gucci Mane ameoa jana, amemuoa Keyshia Ka’oir ambae ni model, stylist na entrepreneur harusi yao ime cost kama $1.7 Million kama 3,740,000,000 Tzs well wenzetu wakifanya kitu huwa wanafanya to the maximum hawajaribu.
Keyshia Ka’oir amevaa gauni kutoka kwa Charbel Zoe Couture mwenyewe Keyshia alisema its gonna be night of diamonds and well the dress, bouquet and the head piece is shinning bright like a diamond which it is.
Ni all white theme wedding watu wpte walivaa white including the groom ambae ni Gucci Mane, amevaa white suit na bow tie na shoes za diamond
Wageni waalikwa waliokuwepo ni pamoja na Monica Brown
na wengine wengi wengi, when you talk about wedding goals
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/gucci-mane-and-keyshia-kaoir-1-7-million-worth-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/gucci-mane-and-keyshia-kaoir-1-7-million-worth-wedding/ […]