Tunapenda kuona watu maarufu wakiwa wamevalia kitu kiancho fanana, well no sio kwasababu ya kuwalinganisha ila ni kwa sababu ya kupata option nyingi za kuvaa hilo vazi lakini pia kujua nini kina trend, na kwa sasa hizi two pieces za flare skirt na off shoulder top zenye rangi mbalimbali zinaonenekana kutrend sana sio tu kwa Hamisa Mobetto na Julitha Kabete tumewaona fashionista’s mbalimbali wakivutiwa na two pieces hizi`
Tulimuona fashionista Julitha Kabete akiwa amevalia two pieces hizi zenye rangi ya blue, kijani na nyeupe kutoka kwa divaboutiqueonline.com, alimalizia muonekano wake na simple makeup huku akiwa ameachia nywele na flat sandals.
Hamisa Mobetto yeye alivaa two pieces hizi zikiwa zinarangi nyingi nyingi kama orange, blue na nyeupe na yeye amemalizia muonekano wake na simple makeup look, sandals huku akiwa ameachia nywele
Unaweza kupata two pieces hizi kwenye blog ya diva boutique lakini pia tumeziona kwenye collection za wabunifu wetu wa hapahapa Tanzania akiwepo Lucky Design
View this post on Instagram#Lc #ruffles #luckycreations #madeintanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿 chiffon
A post shared by Lucky Sabas 🇹🇿 (@luckycreations.tz) on
Na Bijoux Trend unaweza kutembelea page zao kujua zaidi
View this post on InstagramA post shared by Bijoux Trendy (@bijoux_trendy) on
lakini pia tuambie umeona nani amependeza zaidi na haya mavazi kati ya Hamisa na Julitha?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…