Tunaweza kusema Tanzania ina wabunifu tatizo ni mazoea, tunaweza kusema jana mbunifu Elisha Red Label, Make up artist Lavie Makeup na Model Hamisa Mobetto wametupa a perfect gift for Valentines. Hamisa ame post picha akiwa in a perfact dress designed by Tanzania’n Designer Elisha red label, ni sequin dress ambayo ina rangi ya dark blue na chini ina rangi nyekundu ambayo inavutia machoni na hata kwenye mwili Hamisa
Hii gauni unaweza ku attend nayo kwenye harusi au hata red carpet ( can we get an Amen to red carpets? wengi tunajua red carpet ni miburuzo lakini kumbe kuna design nyingi unaweza kuvaa na ku attend red carpet na uka stand out, kama hii gauni ni jinsi ilivyo neat, fabric na hata deign yake its very classy & sexy)
ukiachana na gauni Lavie Makeup kamtendea haki Hamisa kwenye makeup ame mpaka dark smokey eyes ambayo rangi yake inaendana na gauni, we loved the nude lipstick hakuhitaji shouted lipstick as gauni imesha kua a statement piece & the hair is just aaagh everything
Ame accessorize na simple earrings which were perfect
Tumeanza kupata kile roho ilikua inataka kwa miaka sasa tuanze kutafuta events za kwenda.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-in-elisha-red-label-beautiful-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-in-elisha-red-label-beautiful-dress/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 15737 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-in-elisha-red-label-beautiful-dress/ […]