Siku chache nyuma mwanamitindo na mjasiriamali Hamisa Mobetto ali-post picture kwenye mtandao wa Instagram ambapo outfit yake ilichukua attention yetu, well alivaa a dress yenye rangi ya gold, ambayo ilikuwa na ruffles, it was a statement piece, amemalizia muonekano wake na kicks, socks nyeupe, akiwa ameachia nywele zake na beret
Kwetu baada ya kuona tu hii outfit tukakumbua Quote ya mbunifu mkongwe Coco Channel ambae yeye aliwahi kusema kabla ya kutoka nyumbani jiangalie katika kioo na punguza kitu kimoja,
Alitukumbusha hii quote kutokana na kwamba Hamisa alivaa vitu vingi ambavyo kama angejaribu kupunguza kimoja au viliwili basi hii outfit ingeeleweka, Gauni ilikuwa na ruffles tayari so much is going with the dress basi angebana nywele, na kutoa beret au angebana na kuivaa, or may be angevaa heels na kutoa hizi socks na kicks tungeelewa kidogo, sometimes you need to lose to win.
We hope tutaona hizi pieces wakati mwingine akiwa amevaa kwa namna nyingine na kuleta maana zaidi kwa maana pieces ni nzuri lakini si kwa kuzivaa pamoja ni kama mafuta na maji.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 57818 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-should-have-applied-this-tip-by-coco-channel-on-this-messy-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-should-have-applied-this-tip-by-coco-channel-on-this-messy-outfit/ […]