Color Blocking Trend imerudi tena, watu maarufu na wabunifu mbalimbali wameonekana kuvutiwa na trend hii kwa kutuonyesha namna mbalimbali unavyoweza ku-color block na mavazi yako.
Kuvaa mavazi yenye bold colors kuna faida mbalimbali ikiwepo:
- Kuboost mood yako
- Zinaongeza ufanisi katika siku yako
- Zinakufanya uwe noticed kwa urahisi
- Lakini pia una stand out
Week hii tumewaona watu maarufu na fashionistas hawa kutoka ndani na Nje ya Tanzania wakiwa wamevalia trend hii
Tulimuona Hamisa Mobetto akiwa ame-color block na skirt ya pink yenye 2 shades color, huku akiwa amemalizia na statement blouse ya Orange. Mwanadada Nengi yeye alichagua ku-color block akiwa amevalia hii colorfully blazer dress. Mwanamuziki Waje yeye alichagua kuvaa shorts za blue, blazer ya kijani pamoja na shirt ya orange.
lakini pia tulimuona Sishkiki ambae yeye alivaa blazer ya pink na suruali ya orange, mbunifu Olar Grace akiwa kwenye suruali ya blue, orange blouse na mint blazer na Enkay Ede Nkechinyere akiwa amevalia pink & orange
Well kama wewe ni mpenzi wa rangi basi sasa ndio muda wako wa kujiachia.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-sishkikii-nengi-others-in-color-blocking-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-sishkikii-nengi-others-in-color-blocking-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 15619 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hamisa-mobetto-sishkikii-nengi-others-in-color-blocking-trend/ […]