Unaweza ukawa unamjua lakini pia ina wezekana usimjui, kama ni mtu wa social network ali kiki sana mwaka 2012-2014 kama mwanamke mwenye miaka 55 asiye endana na mwili wake, lakini ikaja kugundulika kwa wakati huo alikuwa ana miaka 38 so mpaka sasa ana miaka 42.
lakini pia we must say Bo Talley japo umri ume rudi nyuma lakini she still looks good kwa age aliyo nayo, Bo Talley she is a body goals katika hiki kipindi wanawake wachache wanao weza ku keep a body like this kwa umri alio nao. Wengi huwa wana jiachia na kuonekana wazee na ukimuuliza kwanini ata sema am on my forties nimesha zeeka
Leo katika kushehereke siku ya wanawake tuna sheherekea wana wake wote tuna waombea mpane mafanikio na pia muweze ku mantain urembo wenu, you can be young forever au uka chagua upande wa pili
eat healthy, fanya mazoezi, fanya kazi and enjoy life
iammsbotalley
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/happy-womens-day-get-inspired-by-bo-talley/ […]