Mwanamitindo Herieth Paul ametembea katika jukwaa la New York Fashion week akiwa ana muuzia nguo mbunifu Brandon Maxwell, Herieth ambae anamiaka 20 si mara yake ya kwanza kutembea katika jukwaa hili la New York fashion week na tunaweza kusema kila tukimuona msichana huyu akifanya mambo makubwa kama haya tunaona kama ni mara ya kwanza kumuona, ukiachana na kutembea katika jukwaa la New York Fashion Week tunamsubiri Herieth katika show ya Victoria Secrets
Collection hii ya spring summer 2018 kutoka kwa mbunifu Brandon Maxwell imemgusa kila mtu interms of rangi, style etc kuna wale wanaopenda colorful outfit ameweka colorful rangi kama njano,nyekundu na blue
lakini pia kuna neutral color kama nyeupe, black na blush pink

Collection ilikuwa na kila aina ya nguo kama blouse, suruali za jeans, suruali za vitambaa, skirt, magauni marefu na mafupi
Tulicho ki notice kingine ni belt za kiunoni zilizo endana na rangi ya mavazi yaliyo tembezwa katika collection hio lakini pia Brandon amatumia models weusi kwa weupe na weusi wamepanda na natural hair, Way to go Brandon Maxwell
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/herieth-paul-walked-on-brandon-maxwell-spring-2018-red-to-wear-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/herieth-paul-walked-on-brandon-maxwell-spring-2018-red-to-wear-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 90515 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/herieth-paul-walked-on-brandon-maxwell-spring-2018-red-to-wear-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/herieth-paul-walked-on-brandon-maxwell-spring-2018-red-to-wear-collection/ […]