Tanzania Red Ribbon Fashion Gala ilifanyika jumamosi tarehe 30 wakati hii ni siku ya Ukimwi Duniani, kama ambavyo dhumuni la event hii ni kusaidia kuhamasisha na kusambaza taarifa kuhusu World Aids Day kupitia Fashion Na Pesa Zinazopatikana Zinaenda Kusaidia Kuwapa Ujuzi Watu Wenye Ulemavu Pamoja Na Wenye Uhitaji.
Event ilifana sana watu walipendeza, kila mmoja alionekana kuwa kwenye theme ambayo ilikwa black or red, ukumbi ulifurika rangi hizo lakini pia hawakutuangusha katika style za mavazi wengi walionekana classic & event appropriate.
Watu maarufu mbalimbali waliohudhuria hii event akiwepo, Faiza Ally ambae yeye alipendeza sana na red dress yake, makeup ilikuwa on point

Mwanamuziki kutoka Tanzania Wini na yeye alikuwepo tumependa hii sequin dress yake yenye rangi nyekundu na silver she looked dazzling

Mwanamuziki Lady Jay Dee na yeye alikuwepo akiwa amevalishwa na mbunifu Mwene Smile

Wabunifu mbalimbali walipandisha collection zao, akiwepo Irada Styles, Bijoux Trendy, Ally Rehmtullah, Martin Kadinda, Mwene Smile,Asya Khamsin, Lucky Creations, Jamilla Vera Swai, Mkwandule Son, Katty Collection na wengine wengi.








Wabunifu wengi walijitaidi kuwa kwenye theme na collection zao, tulichopenda kingine ni diversity katika models, tumeona wamepandishwa wa aina mbalimbali, wenye mimba, plus size, vilema etc.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 82207 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 70071 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 2472 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/highlights-kutoka-katika-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]