Fashion haina mipaka ni jinsi vile unavyo jiweka na kuvaa kutokana na matakwa au tamaduni zako, katika hii Dunia sote tunaweza kuvaa chochote ili mradi usiwakere wengine na unavaa bila kuvuka mipaka ya rules zako na imani yako. Well kwa ndugu zetu waislam si vyema kuonyesha nywele lakini haimaanishi hawawezi kuvaa vitu kama kofia au beret kisa tu hawawezi kuonyesha nywele zao.
Tumetafuta na kukuta Hijabista hawa wawili Hanifa na Maryam wakiwa wame style hijab zao vizuri huku juu wakiwa wamevalia beret hat’s
Hanifa ame style beret yake nyeusi mara mbili ambapo mara ya kwanza alivaa this long dress yenye balloon sleeves akabeba na pochi ya kikapu huku akiongezea fringe belt ya kitenge.
Mara ya pili alikua casual na blue jeans, white tee akamalizia na long coat
Maryam yeye she went all black for black panther premier
Kuna namna nyingi za kuvaa beret na hijab, unaweza ku style na skirt, suruali na hata (abaya) baibui well unaweza kutazama video hapo chini namna ya kustyle beret yako na hijab
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hijabista-wakituonyesha-namna-ya-kuvaa-beret-na-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 31261 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hijabista-wakituonyesha-namna-ya-kuvaa-beret-na-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hijabista-wakituonyesha-namna-ya-kuvaa-beret-na-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/hijabista-wakituonyesha-namna-ya-kuvaa-beret-na-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 51023 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/hijabista-wakituonyesha-namna-ya-kuvaa-beret-na-hijab/ […]