Mapumziko ndio hayo yasha fika bado siku kadhaa mwezi wa kumi na mbili uingie na sote tunajua ni mwezi wa kupumzika, mwezi wa kusafiri, mwezi wa kufunga shule vyuo, mwezi wa kukaa na familia na ku enjoy lakini pia ni wakati mzuri wa ku refresh kabati lako, kuondoa mavazi ya kazini na kubaki na yale ambayo utavaa ukiwa nyumbani. leo tutakutajia vitu muhimu vya kuwa navyo kama holiday starter pack
- off shoulder ina weza ikawa dress au top – kwa sababu ni kitu kinacho trend na kipo vizuri katika kipindi cha joto hakikisha unakiweka katika kabati lako katika kipindi hiki ili kufanya holiday yako iwe fashionable trending.
- wide legs trouser – yeah ni holiday right? kwanini ujibane kuwa na wide legs pant ambazo zina achia mwili wako upumue na kitu kizuri kuhusu wide legs ni multipurpose una weza kuvaa casual au night wear
- Denim shirt – denim shirt pia iko kwenye trend kwa sasa, una weza kuivaa kama casual with some sneakers au night wear na thigh high boots au heels. Lakini pia una weza ukaongezea na suruali au skirt uka vaa kama denim on denim trend
- shift dress na night dress – hizi ni muhimu unapo pata mitoko yoyote ya hapa na pale vina weza kuwa help full
flop hat na caps – kofia zina saidia sana tunapo kuwa likizo huwa mara nyingi tuna tumia muda huu kutembelea sehemu mbali mbali, ni vizuri uka vaa flop hats au caps kuikinga ngozi yako ya uso na jua na pia kuwa fashionable.
beach wear – hakikisha kwenye kabati lako hukosi mavazi ya ufukweni una wezaje kumaliza holiday season bila kwenda beach?
flat shoes, heels na sneakers – upande wa viatu uhitaji official shoes, kuwa tu na ndala (flip flops, sandals fupi, heels pear chache na sneakers)
usisahau accessories kama miwani, saa, hereni na mikufu.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…