SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

How Celebrities Attended The Late Hon. Magufuli Funeral
Afro Fix It

How Celebrities Attended The Late Hon. Magufuli Funeral 

Mamia ya watu walikusanyika Chato mkoani Geita Tanzania, kumzika aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk John Pombe Magufuli. Ambapo kulikuwa na watu mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali walioenda kumsindikiza katika safari yake hii ya mwisho.

Katika waombolezaji hawa kulikuwa na watu maarufu kama Diamond Platnumz, Lulu Diva, Rayvanny na wengine wengi, tupo hapa kuangalia je mionekano yao iliendana na sehemu waliyoenda?

  • Stealing Attention

Tuanze na Diamond Platnumz ambae yeye alikuwa amevalia vazi la suit nyeusi na shirt nyeupe ndani, alikuwa msafi na presidential look. Tatizo letu na yeye au tuseme asilimia kubwa ya watu maarufu hawa ni over accessorizing, Diamond alikuwa na kofia, miwani, cane ( Fimbo), Bow tie ni kama alikuwa anaenda kwenye red carpet badala ya msibani tunadhani next time ajifunze kuhusu kuwa minimum na kuto steal the attention msibani pia Bow tie na red tie hazifai kuvalia masibani.

  • Over Accessorizing

Lulu Diva ni msanii wa kike ambae nae alionekana kuhudhuria mazishi haya, yeye alimuwa kuwa classy akiwa amevalia gauni nyeusi pamoja na fascinator nyeusi tumependa muonekano wake lakini bado tunarudi kwenye accessory, tunadhani angevaa tu study earrings bila cheni ingekuwa bora zaidi. Ukiachana na hivi viwili alikuwa amevaa vyema kuendana na msiba.

Mwingine ambae tuliona alikuwa over accessorized ni Rayvanny, alikuwa amesukia yeboyebo na kuvalia babushka headscarf, Rayvanny anahitaji shule na tution kwaajili ya mavazi yake sio tu msibani bali katika maisha yake ya kawaida pia, tunadhani haikuwa inachukua nusu saa kufumua hizo yebo angewaomba Zuchu na Darleen wakamsaidia kufumua hii ingeepusha kuvaa hio Babushka msibani na ku-draw attention.

  • Suit Attire Msibani

marioo, Chegge, Goodluck Gozbert As much as tungependa kuongelea kuto kuvaa suit au tuxedo msibani tunaweza kusema “msiba ulikuwa mkubwa wengi wetu tiliona suit ndio choice nzuri kutokana na hadhi ya msiba” wakati mwingine au msiba mwingine mkubwa kama huu ukitokea mnaweza kuvaa tu suruali ya kitambaa shirt ya dark color, dark solid neckties na moka zenu safi bado mkawa smart kwaajili ya msiba na kutokuchukua attention kubwa.

  • Proper yet stylish

Tumewaona wasanii ambao walikuwa proper na mazishi, Gnako ambae alivaa full black japo tunatamani angemalizia kufunga vifungo kutokuacha kifua wazi,

Jux alivaa vyema bila ku-draw attention walakuwa too much pamoja na Cyrill Kamikaze tunadhani hawa ni mfano tosha endapo kutatokea msiba mwingine mkubwa tutajua nini cha kuvaa

Note: Lengo ni kujifunza namna ambavyo unaweza kuvaa mavazi yako vyema hasa katika misiba mikubwa ya ki-Taifa kama hii, Dunia inatuangalia inabidi tujue nini cha kuvaa ilikutokuenekana wa ajabu au kuongelewa vibaya.

Related posts

5 Comments

  1. download video tiktok

    … [Trackback]

    […] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-celebrities-attended-the-late-hon-magufuli-funeral/ […]

  2. buy howafirearms guns

    … [Trackback]

    […] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-celebrities-attended-the-late-hon-magufuli-funeral/ […]

  3. สล็อตเว็บตรงไม่มีขั้นต่ำ

    … [Trackback]

    […] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-celebrities-attended-the-late-hon-magufuli-funeral/ […]

  4. Dave T Bolno

    … [Trackback]

    […] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-celebrities-attended-the-late-hon-magufuli-funeral/ […]

  5. Residual income

    … [Trackback]

    […] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-celebrities-attended-the-late-hon-magufuli-funeral/ […]

Comments are closed.