Mrs Carter alianza tour yake May mwaka huu na amekuwa aki-slay left and right lakini sehemu zote alizopita ni watu maarufu wachache walio hudhuria hii inawezekana labda na makazi yao kuwa mbali na tour au walikuwa wanasubiri tour ifike Las Vegas ndio wahudhuria as tunajua ni mji ambao wengi wao wapo.
Kutokana na ambavyo tumeona Beyonce alitoa maelekezo ya nini kivaliwe na ilikuwa silver color, and let’s say most of them hawaj disappoint tuanze na Band mate wake Ms Kelly baby
Kelly Rowland alivaa silver outfit siku ya kwanza na ya pili ambapo siku ya kwanza alivaa full silver look, bomber jacket, top na suruali ya silver kutoka kwa BUERLANGMA, siku ya pili alivalia suruali ya jeans na crop top ya silver

Muigizaji Gabriella Union nae alionekana kuhudhuria kwenye event hio akiwa amehudhuria siku mbili siku ya kwanza alivalia crystal embellished hooded dress ikiwa inaonysha vyote vya ndani na siku ya pili alichagua fringe silver top na jeans

wengine ambao tuliwaona ni Tracee Ellis Ross akiwa amevalia multi-color sequin sleeveless mini dress alimalizia muonekano wake na sandal nyeusi na Issa Rae akiwa amevalia prada chain mail look ambayo ni spaghett top na mini skirt.

Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…