Nigerian’s don’t play linapo kuja swala la mavazi iwe harusini, red carpet, movie premier etc, Jana kulikua na movie premier ambayo movie hiyo inaitwa The Wedding Party na theme ya mavazi ilikua Arabian Night we must say wamejitaidi kwenda na theme na wengi walipendeza hizi ni baadhi ya zilizo tuvutia
Adesua Etomi yeye alikua in black & silver number, amevaa fringe black dress na silver shoes alizo match na clutch yake na head piece
Omotola a.k.a Omosexy she went all Arabian in gold & burgundy
muigizaji Indima Okojie yeye ali mchannel alaadin in orange teo pieces, ame malizia muonekano wake na gold accessories & a mini bag
Wakati Indima Okojie aki mchannel Alaadin huyu alionekana kum-channel Jasmine in a blue jumpsuit
omoni Beverly Nayaoboli
Beverly Naya
Toke MRichard Mofe Damijo akinwa
Richard Mofe Damijo
Adetoke Oluwo
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-nigerian-celebrities-slay-the-arabian-night-theme-on-movie-premier/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-nigerian-celebrities-slay-the-arabian-night-theme-on-movie-premier/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-nigerian-celebrities-slay-the-arabian-night-theme-on-movie-premier/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 51853 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-nigerian-celebrities-slay-the-arabian-night-theme-on-movie-premier/ […]