Muigizaji maarufu na slayer katika Bongo land anaonekana kuja na kitu ambacho bado hatujajua ni nini, kwa ambacho tume notice ni kwamba hii ni jumatatu ya pili ana post picture katika mitandao yake akiwa amevaa official well kina kuja nini hatujajua kwama ni suit au shirt maana ndio tumemuona nazo mara ya pili,
Tulicho jifunza kutoka kwake ni jinsi alivyo accessorize suti zake
Mara zote mbili Eliza ame accessorize suit zake na miwani, hereni na pete ambapo mara ya kwanza alivaa blue suit, shirt ya blue na weupe akamalizia na clear glasses hereni, pete na saa huku aki pop some color na pink pumps
Mara ya pili amevaa gray suit napo ame accessorize na pete,hereni, saa na brown glasses huku akimalizia na brown pumps, tumependa mionekano hii kutoka kwake. Unaweza kujaribu pia na kama ukijaribu husisite kututag katika account zetu kwenye mitandao ya kijamii
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 66433 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-accessories-your-suit-like-elizabeth-michael/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-accessories-your-suit-like-elizabeth-michael/ […]