Usikubali watu wakupangie cha kuvaa wewe ndo unayechagua cha kuvaa so wear them with pride. Asikuambie mtu hakuna kitu kizuri kama ukifeel confident na comfortable in your clothes na huu ndio muda wakujisikia vyema ukiwa umevalia mavazi yako. Wewe ndio best vision of yourself kwaio unatakiwa ujiamini.
zifuatazo ni tips za kukufanya ujiamini na mavazi yako
- Share your vision.
Katika kitu muhimu ni hiki kama hauwez kushare kitu gani unaenda kuvaa kwa siku husika basi hauwez kuwa confident kwa sababu wewe unajiona lakini rafiki au uliyenae karibu atakuona zaidi, kabla ya kutoka na vazi lako livae kisha waulize wengine kama limekupendeza na upate maoni yao hii itapelekea wote kuchagua best style-bubbles of your vision.
- Use your secret weapon.
Ni moja ya kitu cha kushangaza ila your underwear ni kwa ajili yako na hakuna mtu anayeweza kujua umevaa nini ila ukivaa underwear safi na nzuri inakufanya uwe confident, sex, Lucy, protected na hata ukipata mihadi na mwenza wako bahati mbaya bado utajiamini kwasababu umevaa kitu kisafi na kizuri ndani.
- Choose your best outfit ya kuvaa
Kama utashindwa kuchoose best outfit ya kuvaaa basi hauwezi kuwa confident. Vaa gauni, shirt, trouser au tshirt ambayo unahisi ni best, siku zote mtu ukivaaa kitu unachokipenda kitakufanya ujisikie confident asikuambie mtu bwana ukivaa kitu kizuri huwezi kujishtukia.
- Long live clothes!
Hauwezi kuwa na confident kama hauonyeshi mavazi yako your some love. Haijalishi kama unapair moja ya jeans ambayo inakufit, Unachotakiwa kufanya ni kutunza vazi hilo na kulifanya liwe zuri kwa muda mrefu, tafuta bidhaa za matunzo ya mavazi (clothes care products) ambazo zitasaidia kuzuia mavazi yako kuchakaa, kupauka au kuhribika shape yake ili kila mara unapovaa ujisikie kujiamini

- Be confident with your body
Kama hauwezi kujisikia confident na aina ya mwili wako basi hauwezi kujisikia confident katika mavazi yako. Haijalishi una aina gani ya mwili kitu cha muhimu ni kuwa confident na mwili wako, ukipenda mwili wako basi utachagua mavazi yanayoendana na mwili wako na yatakukaa vizuri kitu ambacho pia kitasaidia ku-boost kujiamini kwako.
- Choose the colors and fabrics that you love
Kama utashindwa kuchagua rangi au aina ya fabrics ambayo unaipenda basi hauwezi kujisikia confident. Kuna baadhi ya watu wanapenda sana kuvaaa black na akivaaa black anakuwa confident basi vaa hata kila siku ili ujisikie special na confident. Pia usisahau kuchagua nguo nyenye kitamba unachokipenda hiko kitu kitakufanya upende nguo yako na kujiamini zaidi.
- (CATWALK) Walk with confidence and your head held high
kama unatembea vibaya basi hauwezi kujisikia confident kwenye mavazi yako. Unaambiwa attention inakuja kwenye kutembea kwanza halafu mtu ndio aangalie nguo zako, Bila catwalk nzuri utahisi haujapendeza.
Kuna tips zingine ambazo zinaweza kusaidia kwenye kukufanya ujisikie confident na mavazi yako, ambazo ni Know yourself, Wear clothes that make you feel comfortable, Don’t be too hard on yourself, Smile Smile Smile Smile!
NOTE; The main thing to remember is who cares what anyone else thinks? If you’ve chosen your outfit, you’re going to love it & be confident about it
Imeandikwa na @gotchathegreatest
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…