Mara nyingi huwa tunatafuta njia za kuwasaidia hasa katika mitindo na urembo na kwasasa turudisha segment ya AFsFashionFix, hapa tutakuwa tunaongelea matatizo mbalimbali ya mitindo na namna ya ku-fix na kuanza na segment hii tunaanza na How to Fix Too Many Prints Clothes Problem
Wengi wetu tunapenda mavazi yenye prints, iwe maua, mistari,michoro etc. Sababu kubwa ya kupenda mavazi haya ni kukufanya una stand out lakini pia ni rahisi kumix na mavazi mengine ni watu wachache wenye boldness ya kuvaa mavazi haya, mavazi haya yanapo kuwa mengi unaweza kuchanganyikiwa maana ku-mix prints na kikatokea kitu kinachoeleweka kinahitaji utulivu na jicho la fashion la hali ya juu, leo tunakuletea namna ambavyo unaweza kutatua hili.
- Tone It Down
Anza kwa kuchagua dominant print katika vazi lako, kuanzia hapo chagua secondary print ambayo ita compliment the main one. Kama huna uhakika basi stick to the prints ambazo zina same color family mfano; Kama unavaa floral prints blouse yenye green na pink colors basi na chini unaweza kuvalia skirt au trouser ya polka dot yenye rangi hizo

- Break Them Up With Solid Color
Namna nyingine ya ku-balance print ni kwa kuzitengenisha, kwa kutumia solid colors, mfano unaweza kuvaa shirt ya mistari mistari yenye rangi kadhaa ukatummia suruali au skirt yenye plain color inayoingiliana na zilizopo kwenye blouse. Lakini pia unaweza kuvaa print on print na kutumia blazer ambayo ina rangi moja yenye ku-match rangi inayoingiliana kwenye both skirt and blouse na ukapendeza.

Tuambie ungependa tuongelee nini kwenye fashion fix next week?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…