Ni Furahi day nyingine tena, tunaanza mapumziko ya weekend na sote tunajua inapofika weekend tunachotaka ni kupumzika na familia na marafiki lakini pia kutoka nao kwenda nao sehemu mbalimbali ku-clear mind na ku-have fun. Weekend hii tumeona kwanini tusiwaletee namna ambavyo unaweza kuongezea kitenge katika mitoko yako ya hapa na pale, well yes kuna aina ya mishono ya vitenge ina trend kwa sasa unaweza ukawa nao kabatili lakini unavaa tu labda nyumbani au kazini na hujui unaweza ku-style vipi katika mitoko mingine mwanadada Cay Seya fashion blogger kutoka Canada anakuonyesha jinsi ambavyo unaweza kuingia mitaani na kitenge chako na kupendeza
Una own a little skater dress ambayo huwa unavaa na blazer kanisani au kazini? take off the blazer & heels na jaribu kuifanya iwe more casual kwa ku-accessories na casual accessories
Off shoulder kitenge top & skin jeans na vans is all you need for your weekend shopping outfit.
Off shoulder kitenge dress unaweza kuivaa ukienda ufukweni, kutoka na marafiki kwenda shopping au kuzurua.
Kama una wide leg trouser nayo inafaa well weekend is all about the comfy unaweza kuivaa na flat sandals.
You have a dinner date? hizi chini zinakufaa zaidi.
two pieces .
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 84902 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-have-fun-with-kitenge-outfits-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-have-fun-with-kitenge-outfits-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-have-fun-with-kitenge-outfits-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-have-fun-with-kitenge-outfits-this-weekend/ […]