Mwezi wa pili ni huwa mwezi wa upendo, mwezi wa kushare love na wapendwa wako iwe mama, baba, kaka,dada nk. Basi mwezi huu kwa kuwa ni wa upendo wengi tunapenda kuuwakilisha kwa kuvaa nyekundu, rangi nyekundu ina wakilisha upendo au mapenzi japo pia husimama kama hatari. Ikiwa tumebakiwa na siku kadhaa kufikia siku ya Valentine day tunakuletea ideas chache za nini uvae siku hio kama unatoka na mpenzi, washkaji na hata familia.
Wear red like you arent wearing it – kuna wale ambao hawapendi kuwa extra katika siku hii, hawa wengi utawakuta wamebeba pochi jekundu, wamevaa viatu vyekundu, wame accessorize na accessory nyekundu au wamevaa top, suruali au skirt nyekundu yaani wana jipresent na kitu kimoja chekundu.
Stylish ways za kuvaa hivyo kwa sasa unaweza kuvaa a statement red to na pallazo kama BLAKE VON D a stylish attorney
Lakini pia nyekundu inaenda perfect well na nyeusi, unaweza kuchanganya rangi hizi kwa kuvaa t-shirt au shirt nyekundu na pants, short skirt, trouser nyeusi na kuaccessorize upendavyo unaweza kuangalia idea kutoka kwa the_cocopolitan
Full red – kuna wale ambao wanapenda red na wanapenda ku step out in full red tunae full red diva ambae ni fashionista Bonang M kama ni mtoko wa kawaida unaweza vaa casual kama yeye red top, red beret, red shoes na red glasses well lakini pia unaweza kuvaa vile upendavyo mwenyewe.
Au unaweza kuwa totaly diva kwa kuvaa red jumpsuit, red heels na fur coat, she makes full red lokes amaizing.
Au unaweza kuwa a red sexy mama kama chicamastyle hizi zinaweza kuwa ile mitoko ya usiku na mpendwa wako going extraaa
Well tunamsahauje sasa living_my_bliss_instyle
ni matumaini yetu umepata idea ya nini unaweza kuvaa siku hio, usisahau kututag mtoko wako wa tarehe 14 february.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-slay-red-on-valentines-day-like-a-fashionista/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-slay-red-on-valentines-day-like-a-fashionista/ […]