Tunapo ongelea kuwa regular ni vile kuwa sawa na kila mtu, well kila mtu anaweza kuvaa t-shirt na jeans au kuvaa gauni plain na high heels na kutembea njiani hii ndio inaitwa fashion regular, lakini how do you stop this na kuwa wa pekee ( standing out)? leo tunakuletea vile ambavyo unaweza kutumia tips hizi kuacha kuonekana kama ambavyo kila mtu anaonekana na kuwa wa tofauti kidogo.
How To Look Not So Casual In T-shirt & Jeans
- Jiamini
Hiki ni kitu cha kwanza ambacho unatakiwa kukifanya, chochote ambacho umevaa kuwa na confidence nacho kuanzia mwendo mpaka serving faces, unapo kuwa una doupt katika uso wako au mwendo wako inaonekana kwamba hata wewe mwenyewe huelewi au hujakipenda ulicho vaa kwa maneno ya ufupi tuna weza kusema “Wear The Cloth Don’t Let The Cloth Wear You”
- Accessorize
A belt, clutch, necklace, earrings, watch, socks, blazer au saa zinaweza kuleta tofauti kubwa katika muonekano wako, jifunze namna ya kutumia hivi vitu ipasavyo. wanasema kuvaa suruali, shirt na viatu ni outfit lakini adding up some accessories ni uplifting an outfit. Jitahidi kila unapo kuwa unataka kutoka uongezee vitu vichache ku-accessorize muonekano wako.
- Spice It Up
Ku spice an outfit sio tu kuvaa na accessories unaweza kuvaa shirt backward, kuchomekea, unaweza kujaribu kufanya kitu cha tofauti ili tu uonekane tofauti na wengine, hapa unahitaji kuwa muangalifu kwa maana unaweza kukosea ukaonekana kituko.
- Dont Follow The Trend But If You Do Make It Your Way
Kwa sababu umemuona fulani kavaa haimaanishi na wewe uvae, basi kama utataka kuvaa au umependa hilo vazi do it your own way usitake mfanane kila kitu.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-stop-being-fashion-regular/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-stop-being-fashion-regular/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-stop-being-fashion-regular/ […]