Boubou au buubuu ni upgraded version ya kijora, ni gauni la moja kwa moja ambalo unaweza kuvaa kwenye mizunguko ya kilasiku, tofauti ya vazi hili na kijora ni kwamba hili lina material nzuri na pia lina-style tofauti tofauti.
Ikiwa tumeona lina trend kwa sasa tunakuleta tips ya kulinogesha ukaonekana kama rich auntie

- Statement accessories ni njia nzuri ya kuboresha muonekano wako unaweza kuvaa hereni, pete, mkufu ambao una catch attention, hakikisha accessories hizi zinaendana na outfit yako.
- Perfect bag na classy shoes, hivi vinaenda bega kwa bega. Viatu na mkoba vinaweza kutoa muonekano wako kutoka 0 kwenda 100 lakini pia rangi ziwe zinaendana na mavazi yako

- Kunogesha muonekano, Ongezea saa, kikuku, bangili etc hivi ni vichachandu / vinogesho katika mavazi yako.
- Kama unataka ku-make a statement look unaweza kuongezea kofia au hata miwani ili kuupa statement muonekano wako.
Ukiwa unatoka weekend hii basi hakikisha unajitahidi kunogesha muonekano wako kwa kutumia hizi tips tulizokupa
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…