Tunamaliza week ya mwisho ya mwezi wa kwanza katika mwaka 2018, yes we have to end this month with style maana sio kwa ugumu wa mwezi huu kama ume survive inahaja ya kujipongeza. Well tumefikiria kumaliza week hii in suit, suit ni timeless elegant piece ambayo hubadilika kutokana na mitindo lakini hadhi yake inakua vilevile.
Ukivaa suit inakuletea heshima katika jamii somehow wale watu wakubwa ndio wanavaa suit ni vazi ambalo linaheshimika huwezi kumkuta mtu anapiga debe na suit, linaheshimika kiasi ambacho kuna sehemu chache ambazo unaweza kuzivaa kazini, kwenye sherehe, business meetings etc.
Well back to our topic ni vipi unaweza kurock suit the whole week just be creative ya namna za kuzivaa bila kuwa bored
- Start With Bold Colors – hii ni our favorite tip popote pale tunapo taka kuanza week, hii inakufanya uanze week yako na furaha wana sema colors bring’s hapiness, unaweza ku-mix up unavyo weza lakini leo tumekuletea idea kutoka kwa Jokate Mwegelo ambae yeye amevaasuit yenye rangi ya blue she looks elegant & ready to conquer the world.
Au red suit kama fashionista Angodiva
Our Own Model Maggie_Vampire akiwa amevaa suit kutoka kwa mbunifu kutoka Tanzania @speshoz ni mfano mzuri wa powerful woman in suit, head ups,Nice hair style na a good polished suit.
Na hii ya skirt siku nyingine, unaweza kubadilisha viatu na kuvaa pumps and style your suit to your own style.
Burgundy to brighten up that work look, zari ame ivalia suit yake na red top unaweza kubadilisha na kuvalia nyeupe au rangi yoyote ambayo umeichagua.
Can we say meena makes a goood model? well Meena in Ki2pe brown suit, ni perfect color ya hii hali ya hewa.
Plaids zinatrend kwa sasa kama una plaid suit ni wakati mzuri wa kuivaa sasa.
Tunakutakia mwaka mpya mwema we hope you slay the end of month
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-wear-suit-all-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-wear-suit-all-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-to-wear-suit-all-week/ […]