Zarina Hassan A.K.A Zarithebosslady jana alikuwa ana deal ya GSM Mall outfit take ilukuwa floral pajama’s ambayo imeleta a lot of controversial kwenye social media wengi wakisema kavaa nguo za kulalia,
lakini in fashion world pajama zimekuwa zikitrend designer mbalimbali wakubwa wamebuni pajamas Kama mitoko ya saa za kawaida mchana,usiku na asubuhi.
Zimeonekana kwenye runway nyingi za designers mbalimbali wakiwepo Stella Jean; Dolce and Gabbana; Gucci wame design nguo hizi, katika namna ya kuvaliwa katika saa za kawaida na kutumia vitambaa mbalimbali kama floral, silk na stripes
Tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia hii trend na wengine waliingia nazo hadi red carpetRihanna yeye aliamua kuvaa trend his katina red carpet japo ameonekana nayo pia mitaani tunaweza kusema ni moja kati ya trend alizo vutiwa nazo tumesha muona pia in silk night dress mtaani.
Tumemuona mwanamitindo maarufu pia Gigy Hadid in stripes pajamas
Fashion Blogger Chicmystyle nae hakuwa nyuma katika kuwakilisha kwenye trend hii
Kwa hapa kwetu tumewaona watu kama Vanessa Mdee na Hapiness Magesse wakiwa wamevalia trend hii amevaa floral pajamas yenye rangi kama kijani, nyeupe na nyeukundu, amevalia pajama hizo na pointed heels nyekundu huku akiwa amebeba a medium red handbag ambayo ali match na rangi nyekundu iliyo shout kwenye outfit yake. Ame rock trend nyingine ambayo ni long hair lakini akamaliza kwa ku accessorize mtoko wake na saa na big hoop earrings
So its safe to say Zari is fashion foward amejua whats trending na amevaa akapendeza,
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-zarina-hassan-took-her-pajamas-out-of-bed/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/how-zarina-hassan-took-her-pajamas-out-of-bed/ […]