1)Jacqueline Ntuyabaliwe alisha wahi kuwa miss Tanzania kabla ya kuingia katika muziki, lakini kwa sasa ana fanya biashara zake binafsi nchini na Afrika Kusini. Jacquline ni mmoja kati ya wasichana kwasasa ni mama wanao penda mitindo na hajawahi kubadilika toka mwanzo akiwa msichana na mpaka sasa ambapo ni mama. Jacquiline ana watoto mapacha wa kiume
2)Nancy Abraham Sumari NI mtangazaji, mwanamitindo, Miss Tanzania 2015 na pia Queen Africa 2015 amewahi kushiriki Miss World na kushika nafasi ya sita (6). Amezaliwa mkoani Arusha Tanzania mwaka 1986. Ana mtoto mmoja anaitwa Zuri. Mwanadada huyu Hajawahi kukosea katika swala zima la mitindo toka aanze kujulikana.
3)Hamisa Mobetto ni mwanamitindo pia ni muigizaji ambae amejifungua muda si mrefu, lakini radha yake katika mitindo ni ile ile. Hamisa ni mfano wa kuigwa na wamama ambao ndio kwanza wame jifungua amerudi katika hali yake ya kawaida mara tu baada ya kujifungua na ukimuona huwezi kuamini kama ni mama. Hamisa ana mtoto mmoja wa kike.
4)Kajala Masanja Ni muigizaji pia mfanya biashara na ni mkurugenzi mtendaji katika kampuni yake iitwayo KAJALA ENTERTAINMENT COMPANY. Ni kati ya wamama wanao jipenda na wanaojua nini maana ya mitindo. Ana motto mmoja wa kike.
5) Zamaradi Mketema ni mtayarishaji wa kipindi cha Luninga cha Take One, pia ni mtangazaji katika hiko kipindi kirushwacho Clauds Tv. Ana watoto wawili lakini hio haimzuii yeye kuendeleza utamaduni wake wa kuvalia kisasa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 21363 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/huwezi-kuamini-kuwa-wana-watoto-5-bora/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 22858 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/huwezi-kuamini-kuwa-wana-watoto-5-bora/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/huwezi-kuamini-kuwa-wana-watoto-5-bora/ […]