Kama una mitoko wiki hii iwe weekend au hata katikati ya wiki na hujui utavaa nini basi hizi ni ideas za nini uvae katika mitoko yako, hali ya hewa bado ni joto kwaio ina ruhusu kuvaa vitu vyepesi na rangi zilizo tulia kidogo unaweza kutoka na max dress, kama unaenda katika sherehe za harusi lakini hakikisha isiwe nyeupe kwa maana hutakiwi kuvaa sare na mwenye harusi yake,
kama unatoka tu na marafiki unaweza kuvaa kigauni kifupi au body corn crop top na skirt za rangi yoyote au floral
pia Tuntu skirt bado zipo kwenye trend kama una mitoko na washkaji nayo ni choice nzuri ukivaa na crop top na viatu virefu
Gauni isiyo na mikono skirt ndefu yenye mpasuo hizi unaweza kuvaa ukitoka kwenda dinner
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ideas-za-mavazi-kwa-mitoko-yako-ijayo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ideas-za-mavazi-kwa-mitoko-yako-ijayo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ideas-za-mavazi-kwa-mitoko-yako-ijayo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ideas-za-mavazi-kwa-mitoko-yako-ijayo/ […]