Ikiwa tunaelekea katika lile Tamasha la Sanaa Fashion Show, Kesho (jumamosi) kuna party ya kuzindua Tamasha Hilo.
Kabla ya kukwambia uvae nini inabidi ujue tamasha hili Sanaa Fashion Show lina uhusiana na nini, hili ni Tamasha la kuinua vipaji vya chini ambavyo vina uhusiana na Fashion, kama wabunifu wa mavazi, wabunifu wa urembo, viatu pia wanamitindo hii ndio nafasi yao kujitangaza katika majukwaa.
Baada ya kujua hilo basi ngoja tuwaonyeshe ideas za nini uvae katika uzinduzi wa tamasha hili hapo kesho, kama walivyo sema kwenye poster ya tangazo lao kwamba hii ni party kwaio hatutegemei kuona miburuzo kwa sababu ni party inatakiwa uwe comfortable kutoka sehemu moja kwenda nyingine au ku cheza mziki mzuri utakao kuwepo

Jumpsuit kama Victoria Beckham pia sio mbaya
Unaweza ukaenda na short denim pant, crop top na thigh high boots
Skater skirt na crop top una weza kuistyle vile upendavyo
ripped Jeans na crop top kama Rihanna pia una weza ukatisha mno
Kutupa maoni yako tembelea
Facebook – afroswaggamag
Instagram – afroswagga
Twitter – Afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…