Well Idris Sultan ni moja kati ya wavulana (wakaka,wababa) wanao vaa vizuri bongo tuna weza kusema his fashion game is on point, tunapenda tunacho kiona kutoka kwake lakini hili kidogo lime tushtua tunadhani kutokana na kupendeza kwake wengi tuna sahau kwamba tulisha iona hii suit katika red carpets nyingine.
tumeiona hii tuxedo mwenenyewe ndio anavyo iita katika red carpet ya Abryanz tuzo za fashion Uganda alienda ku host na kila mtu aliiongelea ali pendeza sana in it
ikaja kuonekana tena katika tuzo za MTV mama mwaka jana watu tena tukawa blinded bila ku notice kama tulisha iona sehemu kabla lakini
Juzi kwenye red carpet ya movie premeire ya KIUMENI ambayo na yeye alikuwepo akaivaa tena well hapa ndio tulipo stuka kwamba Idris ana i rotate hii suit well it’s not a bad thing kama mtu una kipenda kitu chako lakini men hizi ni events kubwa ange jaribu tu kubadilisha but ina weza ikawa ni macho yetu pia labda ni suit tatu tofauti
je nyie mates mnaonaje ni yenyewe au lah? na kama ni yenyewe je ni vyema yeye kuirudia? tuambie kupita
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/idris-sultan-suit-moja-katika-red-carpet-3/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/idris-sultan-suit-moja-katika-red-carpet-3/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/idris-sultan-suit-moja-katika-red-carpet-3/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/idris-sultan-suit-moja-katika-red-carpet-3/ […]