Kwenye kurasa zake za Instagram yake Vanessa alipost short video clip ambayo inamuonyesha mumewe Rotimi akimkabidhi zawadi ambayo aliifungua ndani na kalikuwa ka handbag kadogo tu keusi ka Dior, lakini exciment ya Vanessa ilikuwa kubwa sana wengi itakuwa tumejiuliza kwanini?
Handbag hii ilibuniwa mwaka 1994 na mbunifu Gianfranco Ferre ambe alikuwa inspired na Napoleon III chairs ambazo zilitumika katika show ya kwanza ya kampuni hio mwaka 1947. Handbag hii mwanzano ilikuwa inaitwa Chouchou ambapo ni neno la French linalo maanisha favorite.
Mwaka 1995 Bernadette Chirac alimzawadia handbag hii Princess Diana ambae aliipenda na akataka atengenezewe hii handbag kwa rangi nyingine tofauti tofauti, na alionekana kuiibeba hii handbag mara kwa mara ikiwepo mwaka 1996 katika red carpet za Met Gala na hapo ndipo jina la Lady Dior lilipopatikana.

handbag hii imekuwa ikitengenezwa kwa kubadilishwa material na rangi mara kwa mara na ni moja kati ya Iconic handbag kutoka katika kampuni hii ya Dior, kwa sasa inauzwa Eur 4,800 sawa na tsh 12,383,522.40 wakati pre owned zinaanzia kuuzwa usd 3,459 sawa na Tsh 8,128,653.46 za ki-Tanzania.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…