Ukiingia social network kinacho trend hapa kwetu na habari za baby mama wawili wa mwanamuziki Diamond Platnumz ambao ni Zarina Hassan A.K.A Zari The Bosslady na mwanamitindo Hamisa Mobetto, Kwetu tulicho kiona ni mapenzi yao na nguo za kihindi na wanazipatia hasa wakivaa tukaona tuwaletee na wasomaji wetu kama mna mtoko iwe party au harusi ambayo theme yake ni kihindi basi mpate kupata idea ya nini uvae na uvaaje kutoka kwao
Zari ametupia hizi picha zake hivi karibuni akiwa amevalia gauni refu jekundu lenye urembo maua ya gold na mtandio wake huku akiwa amepaka makeup simple akamalizia na bold red lipstick (her make up game too strong), nywele zilibanwa huku akiwa ame accessorize mtoko wake na Crystal Stud Headpiece,statementĀ Rhinestone Earring na bangili na pete.
Hamissa yeye alionekana kuvalia hizi outfit mara nyingi kidogo ambapo hapa alivaa purple dress yenye urembo wa silver akapitishia na mtandio wa pink huku akamilizia muonekano wake na statement stud headpiece ya silver na neutral makeup (simple & chic)
Tena tukamuona katika hii brown, pink & gold outfit ambapo iko kitupio cha gold ni favorite yetu
Gold & blue number
Kama unashehere ya aina hiyo ni matumaini yetu umepata idea ya nini unaweza kuvaa.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/indian-theme-wedding-outfit-and-makeup-inspiration-from-zarina-and-hamisa/ […]