Ni Mu- Angola na M- British, Anaitwa Soraya De Calvanho sisi tunamuita malkia wa color blocking, Ushawahi kumuona mtu kavaa rangi ambazo wewe unaziogopa? tena ka mix na kapendeza mpaka una jiuliza How? basi ni huyu dada yeye ni Digital Influencer na Stylist. Tumependa jinsi anavyo break the rules na anavyo fikiria outside the box, katika mavazi she is very neat japo ana vaa rangi rangi lakini ana vutia mno.
Black & Pink kama unaona Hio Fur yake hapo begani ni pink flani hivi inayo enda kwenye orange, wakati clutch ni baby pink (color blocker)
Black & White
nyeupe, orange, pink, kijani akikupigia simu akakwambia kavaa rangi zote hizo una weza kusema hapana lakini akija ukamuona utabaki mdomo wazi to be honest tunapenda anavyo pangilia rangi
orange, white, na pink shades
blue, black, gold, red na nude rangi nne katika mwili mmoja and yet kapendeza
Kama una maoni tuandike chini kwenye box ya maoni au
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggamtz
Facebook -afroswaggamag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…