Una weza kumpata Instagram kama ms_ris_eddy, tume wahi kumuweka mara kadhaa kutokana na kuvutiwa na mitindo yake (bonyeza hapa kuona kama ulipitwa) amekuwa aki slay na kutupa outfit goals mara kwa mara. Ni m-Tanzania lakini pia ni m-Rwanda una weza kuthibitisha hilo kwa jinsi alivyo mzuri na urefu wake pia, lakini pia ni Fashion lover ambae wengi tunge penda awe na blog yake, maana yupo vizuri katika hio sekta.
Tukiwa tuna imaliza 2016 amekuwa moja kati ya ma Fashionista kutoka east Africa ambao tume wapenda zaidi, Ms_ris_eddy si mtu wa kwenda na trend kabisa ila ni vile ana pangilia mavazi yake na kupendeza kuna mfanya awe ana onekana ana enda na wakati. Hizi ni baadhi tu ya zilizo tuvutia kutoka kwake
black outfit kutoka kwake una weza kuona alivyo style the LBD yake na gold accessories
yellow tops tuna penda jinsi anavyo style rangi zake
all white outfis kama msichana na kama fashionista huwa ana jaribu kuwa simple lakini elegant na pia huwa asahau ku add kitu kimoja au viwili kama a statement thing kama tuna weza kuona picha ya kwanza ame ongezea mkufu na picha ya pili the compliter piece ni hio fur blazer
Pia huwa ana keep it african kwa kuvaa vitenge
kitenge off shoulder top
kitenge boots ambazo alisema hajanunua ame tengeneza mwenyewe hii ni sababu nyingine ya sisi kumchagua, kama a fashionista una hitaji kujua kufanya baadhi ya vitu mwenyewe saa nyingine things tend to be expensive au kuto kuwa vile unavyo taka
kitenge blazer
black & white outfits
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…