Kama kuna mwanamitindo Tanzania inabidi tushukuru kwamba ni mzawa wa Tanzania basi ni huyu msichana Herieth Paul, she is business. hatuwezi kuhesabu ni mara ngapi ame itangaza hii Nchi vyema kwa kuwa featured kwenye fashion magazines kubwa, kutembea kwenye run ways za wabunifu wakubwa lakini kuwa ambassador wa brand mbalimbali za makeup na mavazi.
Well kwa sasa Herieth amekuwa kati ya model wa tatu walio chaguliwa kuwa katika cover la gazeti la Dress To Kill Magazine ambalo linasheherekea miaka yake 10
Katika Cover hio Herieth amevaa Fantasy tweed crop top, jacket, skirt, and earrings kutoka katika latest collection ya brand ya Channel (spring ready to wear 2018) ambayo aliiedebut Paris katika Paris Fashion Week
Herieth ameonekana kuvalia Fantasy tweed crop top, jacket, skirt, and earrings kutoka Channel huku akiwa na natural hair zake na simple make up as usual.
Photography: @d.picard
Fashion Editor: @carytauben
Hair and Makeup: @andrewly at @teamm_mgmt using @maybelline
Model: @heriethpaul at @angiesmodelsand @foliomontreal
Creative Director: @sylvainblaiskillmagazine
Graphic Design: @cesarmontreal
Clothing: Fantasy tweed crop top, jacket, skirt, and earrings @chanelofficial.
Outfits nyingine alizo zivaa katika jarida hilo ni
Clothing: Coat, shirt, and shorts @prada. Boots @off____white x @jimmychoo. Earrings @balenciaga at @ssense.
na hii
Clothing: Dress @msgm at @ssense. Earrings @isabelmarant at @ssense.
Tume penda hii cover as imemuonyesha the younger side of her.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…