We all know kuna ule mstari mwembamba kati ya mitindo na dini ambao hatutakiwi kuuvuka. Nigerian stylist na mfanyabiashara Toyin Lawani ameonekana kuuvuka mstari huu na kuvaa mavazi ambayo ni ya dini kwa namna tofauti iliyowakera wengi.
Katika movie premiere ya prophetess ambapo theme ya mavazi ilikuwa iendane na jina la movie, wengi walivaa simple na stylish kuendana na theme hii lakini Toyin yeye aliamua kuwa wa tofauti kwa kuvaa kama nun/sister huku gauni yake ikiwa na mipasuo mirefu mno pande zote mbili, mipasuo hii ilikuwa mirefu kiasi cha mpaka kiunoni. Vazi hili lilizua mjadala kwenye mitandao ya kijamii lakini mwenyewe alijibu kwa kusema alishawahi kufanya kitu hichohicho akiwa amevalia hijab kabla na kwamba ata release picha nyingine zaidi ya hizi.
Katika utetezi wake pia alisema watu wanatakiwa kutofautisha kazi ya dini na sanaa na kwamba mavazi ni mavazi na dini ni spiritual, well unaweza kusoma maelezo yake katika picha hapo chini na utuambie upo upande upi?

Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/is-toyin-lawani-crossing-the-thin-line-between-fashion-and-religion/ […]