Reality Tv Star Sisters, Kim Kardashian na Khloe Kardashian wame onekana ku jaribu kuanzisha trend ya skin tight zenye lace, well hizi zipo sana bongo hata mwenge kwenye vile vibanda vya urembo una weza kuzipata
Khloe alikuwa spotted in full red outfit, Khloe alivaa a re dress iliyo m-shape vizuri (show it mama you work hard to get that bowwwdie) ndani akiwa ina onyesha lace skin tight na bra vyote vyekundu huku akimalizia huo muonekano na hand bag nyekundu, nude heels na metallic glasess
wakati dada mtu Kim K yeye alivaa all white outfit, Kim alivaa a body suit nyeupe ambayo alivalia lace skin tight kwa ndani na yeye akiwa ana onyesha bra yake ya silk alimalizia muonekano wake na nude lace up heels kutoka katika collection ya mumewe yeezy
are we feeling it mates
tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/issa-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 7874 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/issa-trend/ […]