Jacqueline Ntuyabaliwe ni moja kati ya watu maarufu ambao tunaweza kusema handbag collection yake ni Goals, from Channel to Dior you name it. Kitu ambacho sisi kimetuvutia kwake ni namna ambavyo ana beba handbag zake.
Ana class ways ambazo huwa ana beba handbag sio kama sisi wengine ambao huwa tunazibeba kama tumebeba gunia, ( ukitaka kujua namna unavyobeba handbag kunasema nini kuhusu wewe ingia hapa Jua Nini Unachosema Kwa Namna Unavyobeba Mkoba Wako )
- The highly maintanace style
Back to Jacqueline yeye huwa anapenda kubeba handbag yake kwenye kiwiko cha mkono ambapo inasemekana ubebaji huu wa handbag unamaanisha “highly maintanace”
- The I Am More Than A Woman Style
Hii style ni ya kubeba handbag kwenye kiganja kama una ning’iniza chini, ukiangalia picha hapo chini utaelewa zaidi. Style hii inasemekana huwa inamaanisha kwamba wewe ni zaidi ya mwanamke ambae jamii wanakufikiria na Jacqueline ni moja ya style yake pendwa kabisa ya kubeba mkoba
- The I Am Trust Worthy Style
Hii ni ile style ambayo unabeba handbag karibu na mwili wako mfano kwapani au unaikumbatia, zamani tulikuwa tunachukulia hii style kama uoga lakini kumbe ma-expert wa haya mambo wanasema style hii ya kubeba mkoba inasema wewe ni wa kuaminika.
Well Afromates je wewe huwa unabeba vipi mkoba wako?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jacqueline-mengi-atuonyesha-namna-3-za-kubeba-handbag/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jacqueline-mengi-atuonyesha-namna-3-za-kubeba-handbag/ […]