Week iliyopita rangi nyeusi imeonekana kutamba mno, watu maarufu mbalimbali wameonekana wakiivalia well who wouldn’t wakati kunamsemo unasema “Black And White Always Look Modern”. Tumewaona watu maarufu kama Jacqueline Mengi, Juma Jux, Gigy Money Na Elizabeth Michael wakiwa kwenye black outfits
Jacqueline Mengi yeye alivaa hii backless black dress yenye embellishment mabegani na mbele kidogo, amemalizia muonekano wake kwa wave weave, minimum accessories na makeup.
Elizabeth Michael yeye alitu-serve black kwenye hii long pencil black dress ambapo amemalizia muonekano wake na nude makeup na honey color weaving.
Juma Jux Alitupa black na touch ya njano, Juma looked classic tuna wonder kwanini hapati u-ambassador he is one of unproblematic brother ambae tunae Tanzania tena anavaa vyema, this look is just neat and classy.
Gigy Money yeye alikuwa in matching outfit na mwanae huku yeye akiwa in black and yellow wakati Myla alikuwa in black & white looking so bute in Cardi B’s voice

Well Afromates tuambie look ya nani ina deserve kuwa look of the week?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jacqueline-mengi-juma-jux-gigy-money-and-elizabeth-michael-serving-in-black/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jacqueline-mengi-juma-jux-gigy-money-and-elizabeth-michael-serving-in-black/ […]