Katika kitu ambacho tulikitilia msisitizo mwaka huu na kuomba kifanyike ni collaboration kutoka kwa wabunifu na watu maarufu mbalimbali, wenzetu huwa wanafanya sana hizi collaboration na zinasaidia katika kukuza kazi zao lakini pia kuonekana na Nchi nyingine.
Mbunifu Bijoux Na Collection Yake Mpya “RAFIKI” Katika Mercedes-BenzAfrican Fashion Festival Ghana
Mbunifu Bijoux Trendy na fashionista Jacqueline Sakrii Terry wameonekana kulifanyia kazi hili, ambapo tarehe 16 walilunch collection yao waliyo collaborate inayoitwa Jacqueline Sakrii Terry X Bijoux Trendy Collection.

Collection ni wearable, ina pieces za aina mbalimbali kama Jumpsuits, skirt, dresses, suruali, set’s na vingine vingi. Tumependa kwamba wame tengeneza aina mbalimbali za pieces kwa watu wenye personality tofauti, kama mpenda gauni anapata, suruali, jumpsuit etc.


Collection ni ya batiki, kama unamjua Bijoux ni mbunifu ambae signature fabric yake ni batiki. Huwa tunapenda namna ambavyo anazi upgrade na kuzipa muonekano wa kisasa, kwetu sisi tulivyo iona hii collection tulipata summer vibes, dancing, beach, and colorful.


Kwa mujibu wa Bijoux na Jacqueline kila piece utakayo nunua kutoka katika collection yao hii kuna asilimia ambayo itaenda kusaidia wenye uhitaji.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…