Seem like Jay Z na Beyonce wana-take serious notes kutoka kwa Former President & First Lady wa U.S.A, Barack Obama & Michelle Obama mwaka jana katika mkuwano wa Apple’s Worldwide Developers Michelle alisema, Wakati yeye alikua ana vaa magauni mengi, Rais Barack Obama alikua anavaa tuxedo moja kwa miaka nane na hakuna aliyegundua,
inaonekana Jay Z na Beyonce walivutiwa na utaaratibu huu kwakuwa tumemuona Beyonce akiwa ana slay katika tour hii nakufanya aongelewe yeye zaidi kuliko mumewe Jay Z, hii ilimpa chance Jay Z ya kuwavaa hii suit ya Givenchy mara nyingi awezavyo bila ya watu kumuongelea kwamba Jay Z amerudia nguo,
Wakati wanazunguka miji mbalimbali kufanya hii tour,wakati wa ufunguzi wa tour Jay Z amekuwa akionekana kuvaa hii suit mara nyingi akiwa ame accessoriez na huo mkufu mkubwa hapo kifuani while our girl Beyonce kept on changing numbers.
Its funny kwamba kila wakipanda jukwaani fashion lovers wamekuwa wakiwa wanaongelea muonekano wa Beyonce zaidi bila ya ku-mention kwamba Jigga karudia suit, is it a men privellege? We guess so.
Hakuna mtu ambae anaweza kutuconvince kwamba kama ingekuwa Beyonce amevaa same outfit mara tano na zaidi isingekuwa social media topic kwamba Bey karudia nguo lakini on Jigga its okay, Its Arlaight
Givenchy must have paid Jigga some good $$$$ for him to wear hii suit kutoka kwao katika kila opening act ya otr tour 2,
Au labda Jay Z ana obsession na hii suit au pia inawezekana ni njia ya kumuomba msamahamkewe na dunia nzima for cheating on her we all know white means peace right? well haya yote ni sisi na mawazo yetu.
Let us know wewe unafikiri ni nini kati ya kuwa obssesed na hii suit, kalipwa au kuomba msamaha?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jay-z-is-obsessed-with-the-ginvenchy-white-suit-on-otr-tour-2/ […]