Week chache zilizopita mwanamuziki Zuchu alipewa onyo na kampuni ya The Look ambayo inasimamia mashindano ya Miss Tanzania, Onyo hili lilitokana na mwanamuziki huyu kutumia Sash yenye maandishi ya Miss Tanzania, ambapo kampuni hio ilisema kuvaa Sash yenye maandishi hayo ni “kuiba na kupotosha utambulisho wa mrembo wa Taifa mwenye taji hili” na wakiendelea kusema kuwa ni ” kosa la kisheria kwa mtu yoyote kutumia jina hilo pasipo kutambulika na kampuni ya the look”.
Baada ya onyo hilo Zuchu ameonekana ku-post tena akiwa amevalia Sash hio huku akisema kuwa ni “Ndoto Ya Kila Mwanadada kwenye fani ya Urembo .Naamini kila Mrembo hutamani Siku Moja Kuja Kuwa Mrembo Wa Taifa (Miss Tanzania)
Ukiamini Katika Ndoto Zako Na Ukazipambania …Kamwe Hautoweza Kufeli Kila Jambo Linawezekana Kwa Kupambana Na Kumuomba Mungu 🙏🙏🙏”

Unaweza kujiuliza kwanini tumesema hili ni jibu kwao? well tulipost hili swala na kulikuwa na mawazo mbalimbali ambapo wengine walikubaliana na Miss Tanzania Organization huku wengine wakisema ni haki ya kila mtu kutumia sash hio kama ni m-Tanzania.
Unaweza kusoma maoni mengi kwenye post hapo chini kisha tuambie maoni yako kuhusu hili swala
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…