Hello #afromates tunadhani na ninyi mmekutana na hili ambalo tunaenda kuliongelea leo, hii topic imekuwa ikitrend huko katika mitandao ya kijamii, page mbalimbali zikiwasema baadhi ya watu maarufu wa kike kwa kutokubasilisha nywele. This got us thinking kuna umuhimu wa mwanamke kubadilisha nywele mara kwa mara?
Kwa wenzetu upande wa kiume inasemekana wanabadilisha nywele mara tatu hadi nne kwa mwaka na hii inahesabiwa wakiwa katika umri wa kati ya miaka 18-35,
wakati wanawake wakiwa katika umri huo wanabdilisha zaidi ya mara 50, wanaume wanatoa sababu kama nywele kuanza kuisha, kubadilisha mtindo, kuwa bored na muonekano wake na wachache husema wamekuwa inspired na mtu maarufu.
Tofauti na wanawake ambao wao wana sababu zaidi ya ishirini za kubadilisha mionekano ya nywele zao, kuwa inspired na mtu maarufu, mtindo mpya umetoka, kuficha mvi, etc na wakati mwingina hawana sababu maalum wamejisikia tu, hii husababisha watumie kiasi kingi cha pesa kwenye nywele ambazo wakati mwingine hazina hata quality alimradi tu amebadilisha muonekano wake.
Wakati Nchi za wenzetu watu maarufu kama Ariana Grande, Beyonce, Rihanna,Lady Gaga na wengine wengi wanaweza kukaa na nywele mtindo mmoja for ages bila ya kuulizwa kwanini hajabadilisha mtindo, na hii ni kutokana na mtu kutaka kuwa noticed na muonekano fulani, sio leo kijani kesho njano, Ariana Grande ana pony tail hair style ambayo ina muda mrefu sasa na amekata juzi tu baada ya ku-break up na mpenzi wake as they say a woman who cut’s her hair is about to change her life.
Kwetu sisi tunaona ni vyema kama utaweza kuwekeza kwenye quality hair ambayo inadumu miaka mingi all you need ni ku-refresh kama kubasilisha rangi na mitindo kuliko kuwa na nywele nyingi ambazo hazina quality je kwako #afromate una maoni yepi?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-kuna-umuhimu-wa-kubadilisha-nywele-mara-kwa-mara/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-kuna-umuhimu-wa-kubadilisha-nywele-mara-kwa-mara/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-kuna-umuhimu-wa-kubadilisha-nywele-mara-kwa-mara/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-kuna-umuhimu-wa-kubadilisha-nywele-mara-kwa-mara/ […]