Wanasema mitindo haina mipaka si ndio? kama ukituuliza sisi Afroswagga ni sawa bibi harusi kuvaa sneakers katika harusi yake jibu litakuwa ndio, why not? Kila mtu ana mapenzi yake katika kitu, kuna wanawake wanapenda flats, wengine heels, wengine boots na wengine wanapenda sneakers.
Harusi ni siku ya kusheherekea na mara nyingi huwa mara moja tu kama hamto achana na we always want to make the most of that day maana haijirudii hivyo basi ni vyema kufanya kile ambacho huto kuja kujutia mbeleni, kama ungependa kuvaa sneakers sababu wewe ni mpenzi wa sneakers basi vaa tu.
Its all about being comfortable, let no one else tell you you can’t while you can.
Serena Williams alivaa sneakers katika harusi yake,yeye alivaa baada ya ndoa katika reception.
Ivie Okujaiye muigizaji kutoka Nigeria na yeye alionekana akiwa amevalia sneakers katika sherehe zote za harusi yake
hakuna mahali pameandikwa ni lazima uchague heels katika harusi yako, unaweza kuvaa chochote upendacho as long as umeridhia well sneakers & wedding dresses looks so stylish.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-bibi-harusi-kuvaa-sneakers-harusini/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 14608 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-bibi-harusi-kuvaa-sneakers-harusini/ […]