Nyeusi ni rangi ambayo huepukwa na wengi hasa katika vitu kama sherehe, wengi huvaa nyeusi kipindi cha huzuni kwa kuashiria giza limetawala lakini kwenye nyakati za furaha nyeupe utawala na ndio maana mara nyingi katika sherehe hasa harusi walengwa huvaa rangi nyeupe kuashiria mwanga na furaha. Lakini rangi ni rangi japo huwa na maana zake haimaanishi basi the rules can’t be broken.
Wakati tunapita pita instagram tukakuta baadhi ya maharusi wengine kutoka hapa hapa Tanzania wakiwa wamevaa black dress ( hapa hatuna uhakika kama zilikuwa ni reception dress au ndio wedding dress) hii ikatufanya tujiulize hii ni sawa kwa bibi harusi au bride maids kuvaa nyeusi katika harusi? tukajaribu kupitia page za fashion na wedding experts na hili ndilo jibu tulilo lipata “As long as a black dress feels festive, it’s fine for a wedding!”
Ukiangalia kwa sasa kila fashion rule ina bomolewa watu wana vaa sequin dresses mchana, cocktail-length dress to a black-tie wedding, mixing prints nakadhalika, well tunadhani rule moja tu ya katika harusi usiibomoe nayo ni kuwa spirited usiharib sherehe ya wenzio, siku hizi watu wana vunja rules mbalimbali mpaka kuvaa rangi nyeupe kama wewe ni mgeni mualikwa lakini wana slay kupita bibi harusi mwenyewe
Tumejaribu kupata misemo mbalimbali kutoka Fashion Gulu’s mbalimbali na haya ni maoni yao katika kuvaa black kwenye harusi
—Jennifer Hyman CEO and co-founder, Rent the Runway
“Since brides are now wearing all shades of the rainbow, guests can, too—and that includes black!”
—Tara Soloway, wedding expert and co-founder of Luxe Destination Weddings
“Wedding guests can absolutely wear black. It is the most fabulous contrast to celebrate the white wedding gown
—Andrea Behar, fashion designer
“In the past, wearing black was associated with mourning, therefore it was considered inappropriate to wear on the happiest day of someone else’s life. But that school of thought is outdated. Black is classic, fashionable and chic.”
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-kuvaa-rangi-nyeusi-katika-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-kuvaa-rangi-nyeusi-katika-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-kuvaa-rangi-nyeusi-katika-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-ni-sawa-kuvaa-rangi-nyeusi-katika-harusi/ […]