Dear ladies, unavyobeba handbag yako inaonyesha/kusema vingi kuhusu wewe in terms of personality / style lakini pia inaonyesha tabia yako.
Kuna vitu vidogo ambavyo huwa hatuvitilii maanani au kutokuona maana yake lakini kumbe vinaonyesha / kusema vitu vikubwa kuhusu sisi hasa kwa wale ambao wanajua wakifanyacho, mfano unaweza ukawa umetoka kwenda date au business meeting na mtu unaekutana nae ni mtu mkubwa, mwenye kujielewa. Tumezoea kuweka handbag’s zetu kwenye meza tukidhani ni sahihi lakini kumbe ni tofauti kabisa, mezani ni sehemu ambayo inawekwa vyakula au vyombo na sio handbags.
Pia njia nyingine ambayo tumeizoea ni kuning’iniza handbag katika kiti tulichokalia, sio mbaya lakini pia inawezekana ukawa una wa distarb watu hawa wahudumu wanaokuja kukuhudumia wataigonga gonga.
Je uweke wapi handbag yako?
Je Uiweke Wapi Handbag Yako?
i) Kwenye seat isiyokaliwa pembeni yako
ii) pembeni ya kiti ulichokalia yaani pembeni ya mapaja yako
iii) Kwenye mapaja, kama handbag sio kubwa sana na haito kuzuia kula au kufanya kazi zingine unaweza kuiweka mapajani
iv)Beba handbag hook ili uweze kuning’iniza handbag yako mezani.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…