Katika sanaa ambayo husahaulika Nchini Tanzania ni stylist, Stylist wapo wachache mno na hata waliopo pia na wao hawatupi zile ladha ambazo sisi tungependa kuziona, wengi wanaiga styles kutoka kwa ma stylist wengine lakini pia wanafanya kazi moja mbili wakipata jina wanapotea this makes us wonder je tasnia hii ina nini? kwanini ambao wana survive ni wachache na wale wale ambao tunawajua toka tangu tangu?
Its no lie kwamba sasa hivi tasnia ya mitindo inakua, kuanzia movies, waimbaji na watu maarufu mbalimbali wanajitahidi sana kufanya kazi na stylist’s na tunaona ambavyo mionekano yao inabadilika wengine wakifanya vizuri na wengine bado 50/50 well ili mradi wanalisongesha gurudumu la mitindo lakini leo we have a question kwa hawa ma-stylist wetu “Do they practice what they preach”?
Kwetu tunadhani wengi hawafanyi hivyo, most of them hawa practice kile ambacho wanasema, kwetu ukiongelea a stylist tunategemea muonekano mzuri uanzie kwake, kwenye feed yake katika mitandao ya kijamii mpaka katika kazi yake lakini kwao ni tofauti kabisa, Unaweza kukutana na stylist ukajiuliza mimi nivalishwe na huyu? si bora niji-style mwenyewe, mionekano yao ya hovyo mpaka inakatisha tamaa ,okay kuna msemo wa fuata maneno yangu na usifuate matendo lakini sometimes practical is better ESPECIAL kwetu sisi wa-Tanzania ambao bado tuponyuma kwenye swala zima la mavazi
Tukija kwenye mitandao ya kijamii unakuta stylist page yake iko so dry kama jangwa la sahara, hapost kazi zake wala kujipost mwenyewe like dude we need to know unafanya nini na kama upo hai, utasikia whatsapp me or dm me bila kuona kazi yako why should i bother? give me something ili nije huko dm na kwingine na hata wakipost their pictures are Astaghafillurah, mbaya hata ku-invest kwenye wapiga picha pia inashindikana? shout out to Macrida Joseph & Joujou Nyaki kwenye hili wanajitahidi sana.
Lakini pia as a stylist tunatakiwa kujifunza kwako tupe hata vi tips vya hapa na pale, mteja sio aje tu umpendezeshe siku moja lakini hata akiondoka kwako basi awe anajua namna ya kujivalisha, stylist wetu wanachojua ni kupost fulani kavalishwa na fulani hakuna kutupa tips za nini wala nini we need to learn from you, hata kama kuna ambae hana uwezo wa kuja kufanya kazi na wewe basi atleast apate viwili vitatu kutoka kwako, educate us on styling lakini wa kwetu ni wamelala hadi kuwaamsha tunaona tutalala sie.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 34355 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-stylists-kutoka-tanzania-wanafanya-kile-wanachokihubiria/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-stylists-kutoka-tanzania-wanafanya-kile-wanachokihubiria/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-stylists-kutoka-tanzania-wanafanya-kile-wanachokihubiria/ […]