Cannes Film Festival ni tamasha ambalo hudumu kwa siku kumi na moja, tamasha hili uhusiana zaidi na upande wa filamu ambapo waigizaji maarufu mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali uhudhuria katika Tamasha hili. Moja ya sera zao ni kwamba huruhusiwi ku-attend katika Tamasha hili ukiwa na viatu vifupi lakini pia kwa wanaume ni lazima kuvaa tai nyeusi tu.
Well kuna ambao hawaipendi hii rule kama Muigizaji Kristen Stewart ambae yeye alishawahi kusema vhii rule inabidi ibadilishwe mwaka 2016 akiwa anafanya mahojiano na gazeti la Marie Claire Kristen alisema “Things have to change immediately. It has become really obvious that if [a man and I] were walking the red carpet together and someone stopped me and said, ‘Excuse me, young lady, you’re not wearing heels. You cannot come in.’ Then [I’m going to say], ‘Neither is my friend. Does he have to wear heels?’ It can work both ways. It’s just like you simply cannot ask me to do something that you are not asking him. I get the black-tie thing but you should be able to do either version—flats or heels.”
Lakini si yeye tu ambae havutiwi na sera hii mwanadada Emily Blunt pia alisha wahi kuliongelea hili mwaka 2015. Ambapo alisema “I think everyone should wear flats, to be honest,” she told a reporter then. “We shouldn’t wear high heels anymore. That’s just my point of view. I prefer to wear Converse sneakers.”
Lakini to make it more clear kwamba sio tu kuongea anaweza kuonyesha na vitendo Kristen mwaka huu ameamua kuvua kabisa heels zake na kutembea pekua katika red carpet hio, Kristen alivua black Christan Louboutin stilettos zake na kuzishika mkononi huku akitembea katika red carpet ya Cannes
Tuambie wewe unafikiri nini kuhusu hii rule ya Cannes je ni sawa au ni vyema wakawaacha watu wachague wanataka kuvaa nini? tupe maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-wajua-cannes-film-festival-hairuhusu-watu-kuvaa-viatu-vifupi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-wajua-cannes-film-festival-hairuhusu-watu-kuvaa-viatu-vifupi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/je-wajua-cannes-film-festival-hairuhusu-watu-kuvaa-viatu-vifupi/ […]